Pages

Sunday, January 6, 2013

Tiba ya maji ya moto

Maji ya Moto ni tiba ya magonjwa mengi , jaribu kuangalia baadhi ya magonjwa yanayotibiwa kwa kunywa maji ya moto

- pumu= asthma


- shinikizo la damu= hbp 

- migraine / kichwa= migraine/ headache

- ugonjwa wa sukari= diabetes 

- upungufu wa damu= anemia

- maumivu nyuma= back pain
- mawe katika figo= urinary calculus 

- maambukizo wa haja ndogo= urinary tract infection 

- cholesterol= cholesterol

- baridi yabisi & ugonjwa wa mifupa= rheumatism & arthritis 

- kiharusi =stroke 

- udhaifu wa mwili =sexual and body weakness

- kuchoka & uchovu = tiredness & fatigue

- tonsili =tonsillitis 

- vijidudu vya tumbo = gastroenteritis (stomach virus)

- mafua/homa =colds, flu & fever 

- kukosa usingizi= insomnia (lack of sleep) 

- kichome kwenye roho= heartburn 


- kidonda tumboni =stomach ulcer

- kuvimbiwa (ugumu kupata haja kubwa) =constipation

- kutetemeka mwili kutokana na umri= parkinsonism 

- kupoteza nywele (upaa) =hair loss (baldness)

- magonjwa ya ngozi=skin diseases (psoriasis)

- kasoro ya ubongo =alzheimer (defects of the brain) 

- maradhi ya moyo =heart disease 

- saratani= cancer 

- usafisha heidh ya kila mwezi ya wanawake= purifying women's monthly period

0 comments:

Post a Comment